
Baada ya tafakuri ya kipi kinaweza kwenda Bunda, kipi cha kubaki na kipi kifanyiwe nini. Hatimae tukafikia muafaka.

Kwa wale mnaopajua KM Magereza, madhari yake ipo vizuri sana.
Kwa kuwa Ki Nokia changu nilikuwa nacho nikaona si haba nikanyaka japo picha mbili tatu za kumbukumbu.


No comments:
Post a Comment