Total Pageviews

Thursday, March 8, 2018

MGANGA HAJIGANGI

Pale gari ya Msaada kwa wagonjwa inapohitaji msaada.
Kawawa Road, leo asubuhi.

NAKATUBA KWETU

Nenda Kaskazini au Kusini,
Mashariki au Magharibi,
Pazuri kuliko kote ni Nyumbani,
Nyumbani Nakatuba hivi karibuni.

Sunday, March 4, 2018

PHOTO SHARING FROM BUNDA

Wazee ni Hazina yetu,
Tuna wajibu wa Kuwatunza na Kuwaenzi.
Bi Wakubwa Penina, Nyabhuruma na Neema.
Bunda, Jumamosi

KUZALIWA MARA YA PILI


 Jumamosi,
Shule ya Sekondari Kitungwa,
Amina Billy Msalya
Anapata Ubatizo katika Kanisa la Waadiventista Wasabato Kitungwa.

“Basi kulikuwa na mtu mmoja kati ya Mafarisayo, aliyeitwa Nikodemo, mtawala wa Wayahudi. Huyo alimjia wakati wa usiku na kumwambia: ‘Rabi, tunajua kwamba wewe ukiwa mwalimu umekuja kutoka kwa Mungu; kwa maana hakuna anayeweza kufanya ishara hizi ambazo unafanya isipokuwa Mungu awe pamoja naye.’ Yesu akajibu akamwambia: ‘Kwa kweli kabisa ninakuambia, Mtu asipozaliwa tena, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.’ Nikodemo akamwambia: ‘Mtu anawezaje kuzaliwa akiwa mzee? Je, anaweza kuingia katika tumbo la uzazi la mama yake mara ya pili na kuzaliwa?’ Yesu akajibu: ‘Kwa kweli kabisa ninakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na roho, hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu. Kile ambacho kimezaliwa kwa mwili ni mwili, na kile ambacho kimezaliwa kwa roho ni roho. Usistaajabu kwa sababu nimekuambia, Ninyi lazima mzaliwe tena. Upepo huvuma mahali ambapo unataka, nawe unasikia mvumo wake, lakini hujui mahali ambapo huo unatoka wala mahali unapoenda. Ndivyo alivyo kila mtu ambaye amezaliwa kwa roho.’ Nikodemo akajibu, akamwambia: ‘Mambo haya yanaweza kutukia jinsi gani?’ Yesu akajibu, akamwambia: ‘Je, wewe ni mwalimu wa Israeli na bado hujui mambo haya? Kwa kweli kabisa ninakuambia, Yale tunayoyajua tunayasema na yale ambayo tumeyaona tunatoa ushahidi juu yake, lakini ninyi hampokei ushahidi ambao tunatoa. Ikiwa nimewaambia ninyi mambo ya duniani na bado hamwamini, mtaamini jinsi gani nikiwaambia mambo ya mbinguni?’” —Yohana 3:1-12.

Wednesday, February 28, 2018

SHULE YETU NAMALEBE: WEWE UMEIFANYIA NINI?

Wana wa Namalebe!
How old are You?
Where are You today?
What are You doing?
Did you know that your Old School, Namalebe is turning 70 Years old next year?
Do you remember where Namalebe have taken you from those Good Old Days to where you are Today?
What have you done to Namalebe in Return!

Wana wa Namalebe,
Let's Go and Tell Namalebe
AHSANTE SANA.

Please make arrangements to attend the Event in June 2019,
You gonna enjoy meeting your Old Colleagues there.
GET PREPARED.


Tuesday, February 27, 2018

KUSHIRIKI SABATO NYUMBANI


Nyumbani ni nyumbani,
Wakati wa likizo yangu nilipata Baraka za kushiriki Sabato Mbili katika kanisa la Nyumbani la Nakatuba.
Tulipata kubarikiwa sana kwa mafunzo mbalimbali, kujifunza Lesson pamoja, Nyimbo na Mahubiri.
Ni Kanisa hili Mzee CK Msalya alikuwa na ndoto ya kuliona likikamilika, lakini muda huenda haraka mno. Ukamilikaji wake ni Changamoto kubwa sana kwa washiriki wa hapa, 
Wazee wa Kanisa walielezea mpango wa kufanya Harambee baadae mwaka huu ili kuendeleza pale palipofikiwa,
Familia ya Msalya pamoja na wadau wa Blog wameombwa kuendelea kutowatupa mkono washiriki wa Nakatuba.
Chochote kidogo kitakachokuwa kikipatikana kikasaidie kunyanyua Juu Kanisa la Bwana Nakatuba. 

Wednesday, February 21, 2018

QUEUING FOR NATIONAL IDENTITY



Nakatuba na Namalebe
Busambara

Zoezi la kuwapatia wananchi wote Vitambulisho vya urai wa Tanzania liko mkoani kwetu.
Nilikuwa Likizo karibuni,
Ni yaleyale ya Dar Es Salaam tulipokuwa na zoezi hilo. Foleni ndefu za kuchosha na mipangilio isiyoeleweka huku kukiwa na Mashine chache za kuandikishia.