Best wishes for your examination
BELLY Jnr EDDYSON MSALYA
NOEL CK BILLY MSALYA
KAREN MASEKE MGABO
BETTER ROBERT MANYAMA
Total Pageviews
Sunday, November 13, 2016
FIRST DAY IN CHOME
That was CK first day in Chome.
National examination for Form Two starts tomorrow Mon 14 Nov
The very best wishes for your examinations
National examination for Form Two starts tomorrow Mon 14 Nov
The very best wishes for your examinations
Tuesday, November 8, 2016
TANZIA: DEBORAH RAYFORD MAINGU
Deborah hatunae,
Deborah binti Rayford Maingu amefariki dunia baada ya gari aliyokuwa akisafiria na wanae wawili kupata ajali.
Ajali hiyo iliyohusisha gari aina ya Noah iliyokuwa inatoka Nzega kuelekea Tinde na Lori aina ya Scania lililokuwa linatoka Kahama kuelekea Dar es salaam.
Ajali hiyo imetokea majira ya mbili kasorobo usiku Jumapili,November 06,2016 katika eneo la Nsalala kata ya Tinde mkoani Shinyanga.
Mazishi yanapangwa kufanyika baadae leo nyumbani kwa Mama yake mzazi, eneo la Usanda nje kidogo ya mji wa Shinyanga.
Deborah binti Rayford Maingu amefariki dunia baada ya gari aliyokuwa akisafiria na wanae wawili kupata ajali.
Ajali hiyo iliyohusisha gari aina ya Noah iliyokuwa inatoka Nzega kuelekea Tinde na Lori aina ya Scania lililokuwa linatoka Kahama kuelekea Dar es salaam.
Ajali hiyo imetokea majira ya mbili kasorobo usiku Jumapili,November 06,2016 katika eneo la Nsalala kata ya Tinde mkoani Shinyanga.
Mazishi yanapangwa kufanyika baadae leo nyumbani kwa Mama yake mzazi, eneo la Usanda nje kidogo ya mji wa Shinyanga.
Monday, November 7, 2016
KINYEREZI BONYOKWA BRIDGE
Congratulations Mkandarasi Francis Musiba,
Soon Kinyerezi and Bonyokwa will be joined by a reliable Bridge.
Soon Kinyerezi and Bonyokwa will be joined by a reliable Bridge.
Subscribe to:
Comments (Atom)


















