Total Pageviews

Tuesday, July 12, 2016

YA MSEVENI!

Rais wa Uganda Bwana Yoweri Kaguta Museveni alizua kihoja katika kijiji kimoja karibu na mpaka wa Uganda na Tanzania aliposimamisha msafara wake wa magari iliapokee simu faraghani.
Amini usiamini Rais Yoweri Museveni, alishuka kutoka kwenye gari lake rasmi akachukua kiti chake na kukiweka kando kando ya barabara mpya ya Isingiro ikipitia kijiji hicho cha Kyeirumba hadi Tanzania na kupokea simu faraghani.

Tuesday, July 5, 2016

AJALI MABASI YA CITY BOY

Mabasi mawili ya City Boy yaliyopata ajali ya kugongana uso kwa uso na kuua watu 29.
Ajali hii ilihusisha basi lenye usajili wa no T 531 BCE likitokea Dar kwenda Kahama na basi T 247 linalotoka Kahama kwenda Dar.
Ajali ilitokea eneo la Maweni, wilayani Manyoni mkoa wa Singida. 

Picha kwa hisani ya Mdau wa blog, Baruku kutoka Dodoma.

Friday, July 1, 2016

LAST FRIDAY OF RAMADAN


Jumu'atul-Widaa' (Arabic: جمعة الوداع‎‎ meaning Friday of farewell, also called al-Jumu'ah al-Yateemah Arabic: الجمعة اليتيمة‎‎ or the orphaned Friday) is the last Friday in the month of Ramadan before Eid-ul-Fitr.

OUR PETS

Kinyerezi kwetu

Monday, June 27, 2016

CHINGULUBHILA

Safari inaendelea,
Chingulubhila kwa Uncle Muyabhi.

KUELEKEA NAKATUBA

 Karukekere
 Karukekere express
Bunda.
Wadau wengi wanaelekea Nakatuba kwa mkutano wa mwaka.
Tunafurahi walio wengi wametembea na Smartphone zao, hivyo Blog yetu inahabarishwa.