Rais wa Uganda Bwana Yoweri Kaguta Museveni alizua kihoja katika
kijiji kimoja karibu na mpaka wa Uganda na Tanzania aliposimamisha
msafara wake wa magari iliapokee simu faraghani.
Amini usiamini
Rais Yoweri Museveni, alishuka kutoka kwenye gari lake rasmi akachukua
kiti chake na kukiweka kando kando ya barabara mpya ya Isingiro
ikipitia kijiji hicho cha Kyeirumba hadi Tanzania na kupokea simu
faraghani.
Total Pageviews
Tuesday, July 12, 2016
Tuesday, July 5, 2016
AJALI MABASI YA CITY BOY
Mabasi mawili ya City Boy yaliyopata ajali ya kugongana uso kwa uso na kuua watu 29.
Ajali hii ilihusisha basi lenye usajili wa no T 531 BCE likitokea Dar kwenda Kahama na basi T 247 linalotoka Kahama kwenda Dar.
Ajali ilitokea eneo la Maweni, wilayani Manyoni mkoa wa Singida.
Picha kwa hisani ya Mdau wa blog, Baruku kutoka Dodoma.
Ajali hii ilihusisha basi lenye usajili wa no T 531 BCE likitokea Dar kwenda Kahama na basi T 247 linalotoka Kahama kwenda Dar.
Ajali ilitokea eneo la Maweni, wilayani Manyoni mkoa wa Singida.
Picha kwa hisani ya Mdau wa blog, Baruku kutoka Dodoma.
Monday, July 4, 2016
Friday, July 1, 2016
LAST FRIDAY OF RAMADAN
Jumu'atul-Widaa' (Arabic: جمعة الوداع meaning Friday of farewell, also called al-Jumu'ah al-Yateemah Arabic: الجمعة اليتيمة or the orphaned Friday) is the last Friday in the month of Ramadan before Eid-ul-Fitr.
Monday, June 27, 2016
KUELEKEA NAKATUBA
Karukekere
Karukekere express
Bunda.
Wadau wengi wanaelekea Nakatuba kwa mkutano wa mwaka.
Tunafurahi walio wengi wametembea na Smartphone zao, hivyo Blog yetu inahabarishwa.
Karukekere express
Bunda.
Wadau wengi wanaelekea Nakatuba kwa mkutano wa mwaka.
Tunafurahi walio wengi wametembea na Smartphone zao, hivyo Blog yetu inahabarishwa.
Subscribe to:
Posts (Atom)






























