Jana alasiri
Total Pageviews
Thursday, June 25, 2015
Tuesday, June 23, 2015
ANA KWA ANA NA JK
Hatimae baada ya takribani miezi minne toka azaliwe, Joshua Joel Joshua Kaitila "JK" alifika kumwona Babu.
Kinyerezi kwetu, Jumapili
Kinyerezi kwetu, Jumapili
KICHEKO KINAREJEA
Yote ni mapenzi ya Mwenyezi Mungu,
kwani maisha yanapaswa kuendelea.
Tunashukuru taratibu simanzi inatoweka, na Kicheko kinatamalaki kwenye nyumba.
Nyumbani kwa Jackson, Jumapili
kwani maisha yanapaswa kuendelea.
Tunashukuru taratibu simanzi inatoweka, na Kicheko kinatamalaki kwenye nyumba.
Nyumbani kwa Jackson, Jumapili
Tuesday, June 16, 2015
Monday, June 15, 2015
MICHANGO YA RAMBIRAMBI
Kinyerezi, jana jioni.
Wanandugu jana tulikutanika nyumbani kwa Marehemu Jackson,
pamoja na kumfariji Happy (Mama Carol) tulitumia fursa hiyo
kuwasilisha michango yetu ya rambirambi ambayo imekwisha patikana.
Michango inaendelea kukusanywa.
Wanandugu jana tulikutanika nyumbani kwa Marehemu Jackson,
pamoja na kumfariji Happy (Mama Carol) tulitumia fursa hiyo
kuwasilisha michango yetu ya rambirambi ambayo imekwisha patikana.
Michango inaendelea kukusanywa.
Saturday, June 13, 2015
ALMANUSURA NYINGINE
Ahsante Mungu,
Tumenusurika na ajali asubuhi hii, Tairi ya nyuma kushoto ilichomoka.
Ukiangalia kwa makini mstari mweupe, ni usawa nyuma kidogo ya Mwendesha pikipiki.
Nimefanikiwa kulithibiti gari na kusimama pembeni. Na bahati nzuri nuts zote zikapatikana tukafunga na kuendelea na safari.
CFAO Motors (DT Dobie), Nyerere Road maarufu kama Karakana
Leo asubuhi
Tumenusurika na ajali asubuhi hii, Tairi ya nyuma kushoto ilichomoka.
Ukiangalia kwa makini mstari mweupe, ni usawa nyuma kidogo ya Mwendesha pikipiki.
Nimefanikiwa kulithibiti gari na kusimama pembeni. Na bahati nzuri nuts zote zikapatikana tukafunga na kuendelea na safari.
CFAO Motors (DT Dobie), Nyerere Road maarufu kama Karakana
Leo asubuhi
Subscribe to:
Posts (Atom)












