Total Pageviews

Tuesday, June 23, 2015

ANA KWA ANA NA JK

Hatimae baada ya takribani miezi minne toka azaliwe, Joshua Joel Joshua Kaitila "JK" alifika kumwona Babu.
Kinyerezi kwetu, Jumapili

SWAGA ZA BABU

Chezea pozi za Babu Milly weee

KICHEKO KINAREJEA

Yote ni mapenzi ya Mwenyezi Mungu,
kwani maisha yanapaswa kuendelea.
Tunashukuru taratibu simanzi inatoweka, na Kicheko kinatamalaki kwenye nyumba.
Nyumbani kwa Jackson, Jumapili

Monday, June 15, 2015

MICHANGO YA RAMBIRAMBI

Kinyerezi, jana jioni.
Wanandugu jana tulikutanika nyumbani kwa Marehemu Jackson,
pamoja na kumfariji Happy (Mama Carol) tulitumia fursa hiyo
kuwasilisha michango yetu ya rambirambi ambayo imekwisha patikana.
Michango inaendelea kukusanywa.

Saturday, June 13, 2015

ALMANUSURA NYINGINE

 Ahsante Mungu,
Tumenusurika na ajali asubuhi hii, Tairi ya nyuma kushoto ilichomoka.
Ukiangalia kwa makini mstari mweupe, ni usawa nyuma kidogo ya Mwendesha pikipiki.
Nimefanikiwa kulithibiti gari na kusimama pembeni. Na bahati nzuri nuts zote zikapatikana tukafunga na kuendelea na safari.
CFAO Motors (DT Dobie), Nyerere Road maarufu kama Karakana
Leo asubuhi