Total Pageviews

Thursday, March 21, 2013

MPENDE MWANAO

Dunia ya utandawazi,
Ulimwengu kijiji siku hizi.
Midoli mitumba kedekede kutoka nje kwa ajili ya michezo ya watoto.
Enzi za makuzi ya Blogger ilihitaji ubunifu binafsi kuweza kujitengenezea Mdoli wa gari wa kuchezea.
Mchikichini leo mchana

BONGO YETU TAMBARARE

Ama kweli Bongo Darisalama tambarare.........
Hii ni Parking ya DDC, Msimbazi Road Kariakoo

SALAMU TOKA KWA DALADALA

 
Salamu za leo kutoka kwa daladala
"Mwisho wa ubaya, AIBU"

MAKAZI YETU

 
Hii siyo Uswazi kwetu,
Ni mujini kati, Msimbazi Kariakoo.
Na hapa ndio makazi yetu walinzi wa raia na mali zao.

BORA MZIGO UFIKE

Tazara, Nyerere Road leo asubuhi
Kamera ya Blog ikamnasa Mheshimiwa huyu akisafirisha Mbuzi hai wanne kwa kutumia usafiri wa pikipiki yumkini kutoka Vingunguti Kiembembuzi kuelekea katikati ya mji.
Pengine ni Maandalaizi ya Pasaka au ni Biashara.
Hata hivo ilibidi kipindi asaidiwe na wasamaria wema kuwaweka sawa kwa vile walikuwa wakurupuke.