Total Pageviews
Wednesday, October 20, 2010
KALALE PEMA MDAU, KAMANDA JOSIA MSALYA
Mipango ya malazi ya mwisho ya Mdau Josia Mwayai Msalya, yakiendelea. Ni pale nyumbani kwetu Kinyerezi, Ukonga, Ilala Dar Es SalaamFriday, October 15, 2010
ENZI ZILE ZA MDAU WA MTWARA
Juzi Mudau wa Mtwara katika kufanya fanya usafi kwenye Library yake kakumbana na Photo moja maridadi sana ya enzi hizo. Katika kukumbuka kumbuka ikaonekana imepigwa before nineties, wakati huo mdau alikuwa akijiandaa kukwea pipa kwa safari ya masomo huko The Netherland. Tunakupongeza mdau kwa utunzaji huo wa kumbukumbu ya enzi hizo.
Naamini utatupa na maelezo zaidi kuhusiana na picha hii.
ilipopigwa, wadau pichani, waliko sasa na dodoso nyingine kama zipo.........
Wadau wote zile picha za Mzee Ck zilizokuweko kule nakatuba ziko wapi???????????
alipenda sana kupiga picha na familia. Mwenye kuwa nazo tunamkaribisha azirushe kwenye blog.
Monday, September 27, 2010
TANZIA - JOSIA MWAYAI MSALYA 1971 TO 26.09.2010
1971 to 26.09.2010
Mpendwa wetu amefariki jana majira ya saa nane na robo nyumbani Kinyerezi, Dar Es Salaam.
Tunataraji Mazishi yatafanyika siku ya Jumanne tarehe 28 September 2010 majira ya saa kumi alasiri makaburi ya Kinyerezi Dar Es Salaam.
Bwana alitoa, Bwana ametwaa, jina lake libarikiwe.
AMINA
Friday, September 24, 2010
HAPPY BIRTHDAY MDAU EDDY
Saturday, September 18, 2010
REBECCA NYAMWEYA DAY 12 DECEMBER 2010
Alifariki mwaka 2002 akiwa ameshavuta zaidi ya miaka 95.
Katika kumukumbuka mtu huyu muhimu sana kwetu, na katika kujaribu kutunza kumbukumbu yake kwa kina Rebeca wajao, Mwalimu Maclaud anaandaa siku maalum ya REBECA NYAMWEYA siku ya tarehe 12.12.2010 huko KARUKEKERE.
Wajukuu wote wanatakiwa kuweko huko wakiwa na familia zao zote.
Watu wote wanashauriwa kuandaa usafiri wao binafsi, angalau kuwepo Karukekere siku moja kabla.
Kutakuwepo na kongamano na maelezo kutoka kwa watu waliokaa na Rebecca na kufahamu historia yake.
Mmepata kusikia kusikia jinsi alivyokutana na waume zake, Magoti I na Magoti II.
Nafasi yako kati ya nafasi adimu zipatikanazo kuhifadhi kumbukumbu hii.
Picha hii ilipigwa na Magoti III
Thursday, September 9, 2010
Subscribe to:
Comments (Atom)




























