Zebra Crossing,
Kivuko cha Barabarani kwa ajili ya waenda kwa Miguu.
Maarufu kwa nakshi yake ya Mistari Mieupe na Mieusi, mithili ya Punda Milia.
Kikilenga kuwa pahala salama pa kuvukia waenda kwa Mguu Duniani kote.
Lakini Je?
Madereva wetu wanaheshimu......
Vingunguti, Barabara ya Nyerere
Jumanne jioni.
Total Pageviews
Wednesday, November 8, 2017
Tuesday, November 7, 2017
UTII BILA SHURTI!!
Umekaa kwenye Foleni muda sasa,
Lakini anatokea Dereva wa Daladala asiye Muungwana,
Hawezi kutii sheria bila Shurti.
Yeye ana haraka zaidi............
Segerea Kinyerezi Road,
Jumanne asubuhi
Lakini anatokea Dereva wa Daladala asiye Muungwana,
Hawezi kutii sheria bila Shurti.
Yeye ana haraka zaidi............
Segerea Kinyerezi Road,
Jumanne asubuhi
SIMULIZI YA RIZIKI
Simulizi kuhusu Riziki zasema kwamba Mwenyezi Mungu hutuma Malaika wake kila siku ili kuwafikishia Riziki zao Wanadamu wote.
Ili kupata Riziki yako ya siku yakupasa kuwepo pahala ulipopangiwa kupokelea Riziki yako ya siku hiyo kwa muda muafaka uliopangiwa pia.
Malaika wasipokukuta pahala ulipopangiwa katika muda huo, huirejesha Riziki hiyo kwa Mwenyezi Mungu.
Wengi wetu tumekuwa tunakosa Riziki kwa kutokuwepo pahala sahihi katika muda muafaka.
Ndiyo maana Binadamu, kila kukicha twakimbizana huku na kule. Yote hayo ni katika kubahatisha, Riziki yangu ya leo nitaipokelea wapi na wakati gani?
Saturday, November 4, 2017
KONGWA DUST RAIN
Mvua ya Vumbi maarufu Kongwa Rain Dust. Picha kutoka kwa mdau wa Blog yetu Dodoma, Ni maajabu ya Dodoma,
SABATO YA VIJANA
Kutoka kwa wadau wa Blog Dodoma,
Tulikuwa na sabato njema na nzuri sana leo, sabato maalum ya watoto, baadhi leo wakitimishwa na kuhama madarasa, shalom akiwa mmoja wa wahitimu
Tulikuwa na sabato njema na nzuri sana leo, sabato maalum ya watoto, baadhi leo wakitimishwa na kuhama madarasa, shalom akiwa mmoja wa wahitimu
Subscribe to:
Comments (Atom)