Total Pageviews

Thursday, July 6, 2017

YALIYOJIRI

 Bwana Shemeji,
Maseke Mgabho amefanyiwa oparesheni yenye mafanikio ya kumondolea tatizo la Kidole Tumbo lililokuwa likimsumbua, Hospitali ya Rufaa Dodoma leo.
Tumwombee uponyaji wa Haraka.
Bwana Makubhi, Mzee wa Makamuzi akiwa safarini kutoka Bunda leo gari alilokuwa akisafiria lilikubwa na dhahama ya kukamatwa kwa kosa la kusafirisha mihadharati.
Bwana Makubhi, kama abiria wengine alijitokeza kupaza sauti kuhoji sababu ya kucheleweshwa.
Lahaula,
Amejikuta akiunganishwa kwenye kesi ya kusafirisha mihadharati na kuswekwa mahabusu.
Upelelezi baadae imeonekana hana hatia.
Gari na abiria limeruhusiwa kuendelea na safari baada ya kuletwa Dereva na Kondakta wengine.

BIRTHDAY ANNIVERSARY

Dear Ted,
I tried the google to find the perfect wish for you on your special day. But trust me, nothing grabbed my attention. So, I decided to send this greeting to you – “Be happy always”.

Wednesday, July 5, 2017

NAKATUBA FROM OUR LIBRARY

Vijana wa Zamani,
Ni Mwaka 1957, Picha ya Kumbukumbu Harusi ya Majige Somba (Katikati, Msitari wa mbele) na Bi Nyakejirabhi (Kushoto kwa Bw. Harusi). 
Wengine pichani waliosimama kutoka kushoto.
Late Matofali Mkama
Late Mafuru Makene
Mr Ndaro Magolinya aka Bayi Murji
Late CK Msalya aka Sike Patel

Picha kwa hisani ya Mdau wa Blog. Mr. Nyachiriga

Monday, July 3, 2017