Ziwa Ngozi liko takribani kilometa 38 kutoka Mbeya mjini, kwenye safu za milima ya Uporoto. Ni Mita 2620 toka usawa wa bahari. Ukubwa wake ni Kilometa za mraba zipatazo 3.75
Kuna simulizi nyingi za kale kuhusu ziwa Ngozi, lakini wanasayansi wanasisitiza kuwa ni matokeo ya Volkano.
Ziwa Ngozi halina mto unaoingiza wala kutoa maji. Kuna samaki katika ziwa hili japokuwa hakuna shughuli za uvuvi kutokana na ugumu wa kulifikia na pia nyenzo za uvuvi.
Ni mojawapo ya vivutio vya utalii nchini mwetu.
Total Pageviews
Friday, August 12, 2016
Wednesday, August 10, 2016
Tuesday, August 9, 2016
Saturday, August 6, 2016
Tuesday, August 2, 2016
WADAU WATEMBELEA ENEO LA TUKIO LA AJALI
Wadau wa blog yetu leo walipata fursa ya kutembelea Shule ya msingi Migungani. Pahala hapa kwenye mti huu ndipo alipopatia ajali ya kudondoka kutoka juu, Bw. Maingu Baruku majira ya saa Tisa alasiri, Alhamisi tarehe 28 Julai 2016.
Akiwa huko juu kileleni akichuma maua kwa ajili ya kufyonza juisi iliyomo, tawi alilokuwa amelikalia lilikatika na mwenyewe kuanguka hadi chini.
Inakisiwa ni wastani wa kina cha Mita saba.
Akiwa huko juu kileleni akichuma maua kwa ajili ya kufyonza juisi iliyomo, tawi alilokuwa amelikalia lilikatika na mwenyewe kuanguka hadi chini.
Inakisiwa ni wastani wa kina cha Mita saba.
Subscribe to:
Comments (Atom)











