Rais wa Uganda Bwana Yoweri Kaguta Museveni alizua kihoja katika
kijiji kimoja karibu na mpaka wa Uganda na Tanzania aliposimamisha
msafara wake wa magari iliapokee simu faraghani.
Amini usiamini
Rais Yoweri Museveni, alishuka kutoka kwenye gari lake rasmi akachukua
kiti chake na kukiweka kando kando ya barabara mpya ya Isingiro
ikipitia kijiji hicho cha Kyeirumba hadi Tanzania na kupokea simu
faraghani.
Mabasi mawili ya City Boy yaliyopata ajali ya kugongana uso kwa uso na kuua watu 29. Ajali hii ilihusisha basi lenye usajili wa no T 531 BCE likitokea Dar kwenda Kahama na basi T 247 linalotoka Kahama kwenda Dar. Ajali ilitokea eneo la Maweni, wilayani Manyoni mkoa wa Singida.
Picha kwa hisani ya Mdau wa blog, Baruku kutoka Dodoma.