Total Pageviews

Friday, July 15, 2016

FROM THE ARCHIEVES


Bright and Billy
Mara Secondary School, 1976

FROM MINOO TECNO SMART PHONE

Minoo went to Nakatuba on leave,
She had a Tecno Smart phone in hand,
Here are some photos she took, on way and during the stay.

Tuesday, July 12, 2016

YA MSEVENI!

Rais wa Uganda Bwana Yoweri Kaguta Museveni alizua kihoja katika kijiji kimoja karibu na mpaka wa Uganda na Tanzania aliposimamisha msafara wake wa magari iliapokee simu faraghani.
Amini usiamini Rais Yoweri Museveni, alishuka kutoka kwenye gari lake rasmi akachukua kiti chake na kukiweka kando kando ya barabara mpya ya Isingiro ikipitia kijiji hicho cha Kyeirumba hadi Tanzania na kupokea simu faraghani.

Tuesday, July 5, 2016

AJALI MABASI YA CITY BOY

Mabasi mawili ya City Boy yaliyopata ajali ya kugongana uso kwa uso na kuua watu 29.
Ajali hii ilihusisha basi lenye usajili wa no T 531 BCE likitokea Dar kwenda Kahama na basi T 247 linalotoka Kahama kwenda Dar.
Ajali ilitokea eneo la Maweni, wilayani Manyoni mkoa wa Singida. 

Picha kwa hisani ya Mdau wa blog, Baruku kutoka Dodoma.

Friday, July 1, 2016

LAST FRIDAY OF RAMADAN


Jumu'atul-Widaa' (Arabic: Ø¬Ù…عة الوداع‎‎ meaning Friday of farewell, also called al-Jumu'ah al-Yateemah Arabic: Ø§Ù„جمعة اليتيمة‎‎ or the orphaned Friday) is the last Friday in the month of Ramadan before Eid-ul-Fitr.

OUR PETS

Kinyerezi kwetu