Total Pageviews

Saturday, May 7, 2016

INFANTS ARE ANGELS

Ajali mchana huu Msimbazi centre Kawawa Road.
Gari zote mbili zikitokea Boma kuelekea Magomeni.
Hakuna majeruhi.
Gari ndogo ilikuwa na dereva na mama mwenye kubeba mtoto anaekisiwa kuwa na siku moja au mbili hivi.
Gari ndogo imepigwa ubavuni, ikazungushwa na kuonekana kama zinazopishana.
Hakika watoto ni Malaika.

HAPA KAZI TU

Hapa kazi tu !!
Shikamoo Tanesco,
Ndani ya masaa 12 nguzo zilizoanguka zimerejeshwa.

USAFI DAY

Delmonte leo asubuhi,
Tumetekeleza kwa vitendo maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wetu wa Dar Es Salaam ya kufanya usafi.

Friday, May 6, 2016

KIZAAZAA

Ilikuwa taharuki kubwa mitaa yetu asubuhi ya leo,
Nguzo tatu za umeme  zimedondoka Msimbazi Centre, Kawawa Road na kuzua hofu kwa watumiaji wa barabara.
Hakuna aliyejeruhiwa.

Tuesday, May 3, 2016