Uandalizi wa matofari ya kuchoma,
Kasahunga, Kibara - Bunda
Total Pageviews
Monday, August 17, 2015
HABA NA HABA HUJAZA KIBABA
Front view
Back view
Proposed residential and Investment House for Blogger and Bros in progress.
Nakatuba kwetu recently.
Sunday, August 16, 2015
KADI YA MPIGA KURA
MEETING MZEE MGETA MTOLERA
Baada ya miaka mingi, safari yetu Musoma ilitukutanisha tena na Mzee wetu Mgeta Mtolera.
Pamoja na umri kusonga sana hivi sasa, Mzee Mgeta bado ni mwenye kuwa na Nguvu, Uono mwangavu na kumbukumbu na akili thabiti.
Changamoto pekee anayokumbana nayo ni matatizo ya miguu.
Tunazidi kumwombea mwenyezi Mungu azidi kumpa umri mrefu kusudi hekima na busara zake ziendelee kutumulikia.
Pamoja na umri kusonga sana hivi sasa, Mzee Mgeta bado ni mwenye kuwa na Nguvu, Uono mwangavu na kumbukumbu na akili thabiti.
Changamoto pekee anayokumbana nayo ni matatizo ya miguu.
Tunazidi kumwombea mwenyezi Mungu azidi kumpa umri mrefu kusudi hekima na busara zake ziendelee kutumulikia.
MTOTO WA MTOTO
Kabla ya kufikisha miaka 40,
Nyang'oko Bahati ni Bibi,
Mtoto wake ana mtoto.
Pichani Bibi Nyang'oko akimlea mjukuu Baraka,
Mtoto wa mtoto wake Penina.
Hongera kwa kutuongezea idadi ya wajukuu.
Nyang'oko Bahati ni Bibi,
Mtoto wake ana mtoto.
Pichani Bibi Nyang'oko akimlea mjukuu Baraka,
Mtoto wa mtoto wake Penina.
Hongera kwa kutuongezea idadi ya wajukuu.
Subscribe to:
Comments (Atom)








Buzuruga Bus Stand















