Total Pageviews

Wednesday, April 8, 2015

BURIANI JUMA MWANAMBARA

 Late Juma Ali Mkawa Mwanambara,
hii picha niliipiga tarehe 28 February 2015 siku ya mazishi ya shemeji yangu Bi Mwajuma.
Juma Mwanambara alihudhuria tukashiriki nae kwenye mazishi hayo.
Tarehe 05 Februari, siku ya hitima ya Bi Mwajuma nilipata habari ya kifo cha Juma Mwanambara.
Juma alikuwa mmojawapo wa Maafisa Ushirika walionipokea wakati wa kuanza ajira yangu kama Afisa Ushirika msaidizi wilayani Bagamoyo Novemba 1982.
Tarehe 06 Februari 2015, Juma Ali Mwanambara amezikwa makaburi ya Mwanakalenge, ni pembeni tu mwa kaburi la shemeji yangu  Bi. Mwajuma.
Buriani Juma

Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un

Thursday, April 2, 2015

NEW BORN BABY BOY

Mwili mmoja mnamo 09 March 2014,
Hatimae ndoa hii imejibu,
Kuna mtoto Mwanamme amezaliwa Amana Hospital muda mfupi uliopita.
WELLCOME BABY,
Hongera Joel & Elimina

Monday, March 30, 2015

UBUNGO MPYA

Ubungo niliyoishi 1991 - 2000, siyo sawa na Ubungo ya leo.
Ubungo Jumapili jioni

Thursday, March 26, 2015

HAPPY BIRTHDAY WISHES

Mr Richard Mgabo
Birthdays are a new start, a fresh beginning, and a time to pursue new endeavors with new goals. Move forward with confidence and courage. You’re a very special person. May today and all of your days be amazing!

Wednesday, March 25, 2015

Tuesday, March 24, 2015

MTUHUMIWA AHUKUMIWA NA WANANCHI

Msimbazi Centre,
Kawawa road, mchana.
Bwana mmoja ambae jina lake hajatambulika amekumbana na kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira kali baada ya kutuhumiwa kutaka kumwiba mtoto mdogo kutoka ndani kwao mitaa ya Kigogo Sambusa/Msimbazi Centre.
Picha ya kwanza juu, Mama mtoto akiwa na mtoto aliyeponea chupuchupu kuibiwa akisimulia mkasa mzima ilivyokuwa.