Total Pageviews

Thursday, October 16, 2014

ELIMU NI KAZI

Kauli mbiu ya "ELIMU NI KAZI"
ikitekelezwa kwa vitendo katika wilaya ya kazi.

KWAHERI DAD, 3

30 September 2014
Wakati msafara ukizidi kusogea mwisho wa safari, kunaingia mushikeli..........
Mojawapo ya gari ya msafara inapata ajali kwa kumgonga mwendesha baiskeli, eneo la Hungumalwa wilayani kwimba.
Hata hivyo baada ya uchelewevu wa masaa kadhaa ili kukamilisha taratibu za kipolisi vituoni Hungumalwa na Misungwi, Safari inaendelea. Tunapata msaada wa gari nyingine kutoka Chuo cha Mipango Mwanza.

KWAHERI DAD, KINYEREZI




29 September 2014, KINYEREZI
Ratiba ya kutoa heshima za mwisho,
na mwanzo wa safari ya kuelekea kijijini
Nakatuba, Kibara Bunda

KWAHERI DAD, 2

30 September 2014,
Bi Penina boarding Precision Air
en route to join the other team at Mwanza,
And thereafter a trip to Nakatuba, Kibara Bunda