Daraja letu, Uswazi kwetu.
Kinyerezi Road, baada ya daraja la chuma.
Ni bora mamlaka zinazohusika zikachukua tahadhari mapema.
Maana ha mbuyu ulianza kama mchicha
Total Pageviews
Wednesday, May 14, 2014
Monday, May 12, 2014
BONGO TAMBARARE
Ama kweli Bongo tambarare.
Pale Mombasa ukionekana umepitia ile parking iliyotelekezwa na Daladala,
adhabu yake ni kuwalipa Tanroads maelfu ya shillingi.
Lakini hapo Buguruni, usoni mwa Polisi, ruksa kupark katikati kwenye Road reserve.
Ama kweli tembea ujionee.
Pale Mombasa ukionekana umepitia ile parking iliyotelekezwa na Daladala,
adhabu yake ni kuwalipa Tanroads maelfu ya shillingi.
Lakini hapo Buguruni, usoni mwa Polisi, ruksa kupark katikati kwenye Road reserve.
Ama kweli tembea ujionee.
Wednesday, May 7, 2014
NI WAKATI MUAFAKA
Mjini, Jangwani Dar Es Salaam
Suburbs, Kinyerezi.
Umedunduliza kwa ajili ya kununua kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa nyumba?
Huu ni wakati muafaka wa kutoka kwenda kutafuta kiwanja, iwe ni mjini kati au pembeni ya jiji.
Kazi kwako.
Suburbs, Kinyerezi.
Umedunduliza kwa ajili ya kununua kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa nyumba?
Huu ni wakati muafaka wa kutoka kwenda kutafuta kiwanja, iwe ni mjini kati au pembeni ya jiji.
Kazi kwako.
Subscribe to:
Posts (Atom)



