Total Pageviews

Wednesday, May 7, 2014

BABU BACK NDANI YA NYUMBA


Babu Milly baada ya kupotea kwa muda kwenye blog,
Sasa hivi amerudi kwa kishindo.
Kinyerezi kwetu

Tuesday, May 6, 2014

Monday, May 5, 2014

CK HOME NURSING AND FEEDING

Mzee CK amerejea nyumbani Kipunguni.
Atakuwepo kwa takribani wiki mbili kabla ya kurejea hospitali kwa matibabu ya mwisho.
Ankal Jovi amebeba jukumu la kusimamia lishe bora ya mgonjwa kwa wakati kama ilivyoshauriwa na Madaktari.

BACK AT HOME

Mzee CK has been discharged from Muhimbili.
Kama kawaida anaendelea ku note memmories zilizojitokeza

NEW PHOTOGRAPHER

 Our blog have emerging new Photographer,
Thats Minoo
and thats her photo of Grandpa

Saturday, May 3, 2014

CHOZI LA FURAHA


Chozi la furaha la Mzee CK
Mei Mosi, Kibasila Ward, Muhimbili.
Idadi kubwa ya watu waliomtembelea kumjulia hali na kumfariji ilimfanya Mzee CK kutoa chozi.
Upendo ulioje!!!
Hakika upendo ni tiba.

GET WELL SOON DAD


 Isaiah 41:10 

Fear not, for I am with you; be not dismayed, for I am your God; I will strengthen you, I will help you, I will uphold you with my righteous right hand.