Total Pageviews

Saturday, April 12, 2014

DAR RAIN UPDATE

Neema ya mvua inaendelea Dar.
Lakini kwa upande mwingine inaonekana majanga.
Mitaa ya Dar mchana huu
Picha toka kwa mdau Rajab

DAR TETE

Dar mvua mtindo mmoja leo na jana.
ni mitaa ya Kinyerezi/Segerea Bridge leo asubuhi.
Picha ya mdau Rajab.
Na kule Mpiji Bridge (Mpakani Dar na Bagamoyo) nako mambo si shwari
Picha kwa hisani ya wanamitandao

Tuesday, April 8, 2014

ILIVYO DAR KUTOKEA SALASALA

Ama kweli, tembea ujionee.
Jumapili nilihudhuria kwenye msiba wa Ankal wetu Julius Mbogora Chiyarata, apumzike kwa amani.
Ni mitaa ya  Mbezi Africana,
Kwenye point moja - Njia panda ya kwa BARIKIWE, Taswira nzuuuri za jiji la DariSalama.
Kwa kutumia Huawei yangu.

HATIMAE KILIO KIMESIKIKA

Kilio kimesikika,
hatuna tena adha ya kukinga vibakuri na ndoo.
Ukarabati wa nguvu na uhakika umefanyika.