Total Pageviews

Wednesday, June 5, 2013

NDIO ZETU

Ndio ilivyokuwa wakati wa enzi zetu.............
Lakini ni hali halisi inayowakilisha familia nyingi za vijijini kwetu hata leo.

Picha toka Ukerewe Facebook page

Monday, June 3, 2013

KIKAO CHA NNE - LULU

 
 
 
Siku zinazidi kusonga.
Jumamosi hii ilikuwa ni kikao cha Nne
Wadau wanazidi kukuna vichwa kuona watakavyofanikisha

KAZI NI KAZI

 
 
 
 
 
Naam, kazi ni kazi
Ilimradi inakuwezesha maisha ya kila siku

LAMADA

Ama kweli mwili haujengwi kwa Matofali, wala kulindwa na Wa Maasai
Lamada Hotel and Apartments
Dar Es Salaam

LIKE SON, LIKE DAD

Billy & CK

MGAHAWA

Madikodiko na mahanjumati njiani
Lindi Street/Msimbazi Strt

UJASIRIAMALI DAMUNI

Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo
Mjasiriamali mdogo akitembeza vitafunwa mitaa ya Uswazi kwetu