Free ride kwenda Gongo la Mboto kutokea Msasani
Jana usiku, Nyerere Road
Total Pageviews
Saturday, July 7, 2012
Friday, July 6, 2012
Wednesday, July 4, 2012
Tuesday, July 3, 2012
Monday, July 2, 2012
LULU - HAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUWA
Jumapili, Kwetu Kinyerezi
Tukapata wageni kutoka Kilimanjaro, lakini wenyeji wa Iringa, familia ya Lusaluwa.
Wameleta barua ya posa kwetu kwa ajili ya Bhituro Lulu Bright.
Tukamuuliza Lulu, akasema ruksa kuipokea...............
Nasi tukawapokea wageni, tukapokea na barua...........
KIKAO CHA 18 CHA CHENDANE
Keneth,
Jembe la vikao, Agness
Mjadala
Hoja
Mzambarauni Gongo la Mboto, JumapiliBaada ya kuahirishwa jumapili iliyopita, Kikao kiliendelea weekend hii, Wajumbe wakakutana kwa Bw. Sospeter Kwesi, Mzambarauni Gongo la Mboto.
Pamoja na kikao cha kawaida tukapata nafasi ya kumwona Mh Keneth Sospeter. Wengi wa wajumbe ndio kwanza wamemwona tokea alivyozaliwa miezi mitatu iliyopita.
Uncle Agness amepongezwa kwa kuwa mhudhuriaji mzuri wa vikao.
Subscribe to:
Comments (Atom)








































