Kikao cha 17 cha Chendane Foundation kilikuwa 27.05.2012
Ulongoni, Gongo la Mboto kwa Mh. Eliud Kaitira
Kikao kikafunguliwa kama ada
Mijadala mizito
Mapitio makini
Kwisha kikao wajumbe, kumbe waliandaliwa msosi wa nguvu
Kikao cha 18 kitakuwa tarehe 24 Juni 2012
Mzambarauni, Gongo la Mboto
kwa Mh Sospeter Lyanga Kwesi