Total Pageviews
Wednesday, March 23, 2011
After 6 Yrs in Kagoshima, The Mdau George is Back
Mdau George na Familia yake amekuwa yuko nje ya nji kwa takribani miaka sita.
Na jana ilikuwa siku yake ya kurejea.
Wadau wa Dar walikuweko Eapoti kuanzia saa kumi na mbili asubuhi, ingawa ratiba kamili ilikuwa haijapatikana.
Baada ya kusubiria masaa, Kamera ya mdau ilinusa ndani ya arriving lounge na kunasa taswira hii ya wadau wakielekea geti la kutokea
Wadau wakakaa tayari........
Ikawa kunyanganyana kila mtu na wake.............

Aliyepata mtoto, haya...........


Aliyepata Mama, au mizigo haya..............................





Baada ya stori za hapa na pale, msafara ukaongoza chini ya ulinzi mkali ukifuatiliwa na kinokia kama kawaida



Hatimae msafara ukawasili Kipunguni, ambapo familia hii itapumzika japo kwa siku mbili tatu
Baada ya sara, stori zikaendelea................
huku kukiwa na lugha gongana, iliyoongozwa na Madame Pricilla

Na jana ilikuwa siku yake ya kurejea.
Wadau wa Dar walikuweko Eapoti kuanzia saa kumi na mbili asubuhi, ingawa ratiba kamili ilikuwa haijapatikana.
Baada ya stori za hapa na pale, msafara ukaongoza chini ya ulinzi mkali ukifuatiliwa na kinokia kama kawaida


huku kukiwa na lugha gongana, iliyoongozwa na Madame Pricilla
Monday, March 21, 2011
Enzi za Mid Nineties
Jumapili nyingine jana, pamoja na kuwauguza wagonjwa nyumbani, pekua pekua ikanikutanisha na picha za enzi hizo.
Likely 1995
Florah(Mama Jack), Chaibora na Mama Chai
Monday, February 28, 2011
KIKAO CHA NNE JANA KILIKUWA GONGO LA MBOTO
Ramani ilikuwa hivi
Panda Gari la Gongo la Mboto,
Shukia Mzambarauni,
Upande huo huo ulioshukia fuata njia ya kwenda kanisa la Waadventista Wasabato
Mbele kidogo welekeo wa Barabara ya Mazizini utaona mchongoma mkubwa
Ni Ukonga/Mazizi No 446
wageni wakawasili salama...........
Pamoja na dharura ya kutokuwepo Mwenyeji Bw. Sos, Mama Kevin alikuwepo kuwakaribisha wageni
Kuteta kidogo kwa hapa na pale.......................
Inapendeza kwa sana
KIKAO CHETU KINACHOFUATA KITAKUWA NDANI YA UBUNGO JUMAPILI YA TAREHE
27 MACHI 2011
27 MACHI 2011
Jina la Chama je????????????
SILAS AND JOSIA FOUNDATION
au
UPENDO FOUNDATION
au
Pendekezo lako.......................................................................????
Tuesday, February 15, 2011
Thursday, February 10, 2011
Tuesday, February 1, 2011
Subscribe to:
Comments (Atom)






