Total Pageviews

Wednesday, March 23, 2011

LEO NI SIKU YA MDAU MINOO

Leo tarehe 23 March ni BIrthday ya MDAU
AminaTereza Billy Kurwijira Msalya "Minoo"
HAPPY BIRTHDAY OUR DEAR AMINA

After 6 Yrs in Kagoshima, The Mdau George is Back

Mdau George na Familia yake amekuwa yuko nje ya nji kwa takribani miaka sita.
Na jana ilikuwa siku yake ya kurejea.
Wadau wa Dar walikuweko Eapoti kuanzia saa kumi na mbili asubuhi, ingawa ratiba kamili ilikuwa haijapatikana.
Baada ya kusubiria masaa, Kamera ya mdau ilinusa ndani ya arriving lounge na kunasa taswira hii ya wadau wakielekea geti la kutokea
Wadau wakakaa tayari........
Ikawa kunyanganyana kila mtu na wake.............
Aliyepata mtoto, haya...........
Aliyepata Mama, au mizigo haya..............................
Baada ya stori za hapa na pale, msafara ukaongoza chini ya ulinzi mkali ukifuatiliwa na kinokia kama kawaida
Hatimae msafara ukawasili Kipunguni, ambapo familia hii itapumzika japo kwa siku mbili tatu
Baada ya sara, stori zikaendelea................
huku kukiwa na lugha gongana, iliyoongozwa na Madame Pricilla

Monday, March 21, 2011

Enzi za Mid Nineties

Jumapili nyingine jana, pamoja na kuwauguza wagonjwa nyumbani, pekua pekua ikanikutanisha na picha za enzi hizo.
Ilipigwa Tabata..............
Likely 1995
Florah(Mama Jack), Chaibora na Mama Chai
Febronia aka febi, Late Mama Kilusungu, Penina na Mama Chai

Monday, February 28, 2011

KIKAO CHA NNE JANA KILIKUWA GONGO LA MBOTO

Jana ilikuwa mwendelezo wa vikao vya wanandugu, kwa sababu zisizozuilika kikao kilihamia Gongo la Mboto badala ya mipangilio ya awali ya kukutana Ubungo.
Ramani ilikuwa hivi
Panda Gari la Gongo la Mboto,
Shukia Mzambarauni,
Upande huo huo ulioshukia fuata njia ya kwenda kanisa la Waadventista Wasabato
Mbele kidogo welekeo wa Barabara ya Mazizini utaona mchongoma mkubwa

Mbele kulia kuna kichochoro kupitia kwenye tairi la gari......................

Utaulizia kwa SOS aka Baba Kevin
Ni Ukonga/Mazizi No 446

wageni wakawasili salama...........

Pamoja na dharura ya kutokuwepo Mwenyeji Bw. Sos, Mama Kevin alikuwepo kuwakaribisha wageni
Baada ya kikao cha saa moja, ilikuwa ni wakati wa kuondoka.........

Kama kawaida ndugu wakutanapo,
Kuteta kidogo kwa hapa na pale.......................
Mitaani Uswazi, tukakutana na maandalizi ya kutengeneza Kashata.
Inapendeza kwa sana
KIKAO CHETU KINACHOFUATA KITAKUWA NDANI YA UBUNGO JUMAPILI YA TAREHE
27 MACHI 2011
Jina la Chama je????????????
SILAS AND JOSIA FOUNDATION
au
UPENDO FOUNDATION
au
Pendekezo lako.......................................................................????









Tuesday, February 15, 2011

ARRIVAL OF Dr GEORGE FOR 10 DAYS VISITS



Wadau mbalimbali walifika kumpokea

Siku njema ya Valentino, Na BJ alikuwepo kumpatia Red Rose

Tafakuri ya safari ya hapa na pale
na baadae safari iliyoishia Kinyerezi
......Sato ndiyo lilikuwa chaguo la mwanzo kwenye msosi......... .
mdau Dr bado wamo

Thursday, February 10, 2011

PAULO USIJE KUCHEZA NA SISI.................UNA MIKONO MICHAFU

Mdau CK jana amerudi toka shule shati ikiwa nyang'anyang'a, sijui hata kama aliingia darasani huyu.

Tuesday, February 1, 2011

MINOO AT SCHOOL

Minoo ameshakuwa mwenyeji Skuli Kinyerezi, na ameanza kupata marafiki