Total Pageviews

Saturday, August 7, 2010

MSALYA ANNIVERSARRY: 1895 - 04 JUNE 1966 (BEACON)

Ujenzi wa Beacon, kwa ajili ya kumbukumbu ya vizazi vijavyo.
RIP Chisaka Msalya Maseme,
1895 to 04 June 1966.


Wadau Afande Msalya Tall, Mzee wa makamuzi Makubhi na Dr Jackson walikuwepo kushuhudia uwekaji wa alama hii.


Mwenyekiti hakucheza mbali kuhakikisha kila kitu kinakwenda kama vile ilivyopitishwa kwenye maamuzi ya kikao cha Mkutano mkuu wa wadau wa Msalya-My Family


Wednesday, August 4, 2010

AHSANTENI WADAU

WADAU 3CKs
WADAU KUTOKA KWA MWALIMU KULE BUNDA
MDAU HUYU KUTOKA UK, ALIKUWEKO VEKESHENI NAKATUBA:
"Dr George baadae ukishapitia makala hii unaweza kutuhabarisha namna hii inakuwaje, Maana mdau huyu ana miaka saba tu, lakini alama zote za uutu uzima zimekwisha mfika isipokuwa kimo tu."
WADAU KWENYE VEKESHENI HUKO NAKATUBA MINOO NA MM.....
MDAU MACHACHARI WA UBUNGO DAR ES SALAAM, BI MKUBWA Bjnr
WADAU KAREN, PENINA NA SHALOM KUTOKA DODOMA
MDAU AFANDE MSALYA TALL, MDAU TOKA MWANZA

MSALYA ANNIVERSARRY: 1895 - 04 JUNE 1966 (2)


Maelekezo na ufafanuzi kila ilipobidi



Ufuatiliaji wa karibu wa majadiliano ya wadau kikaoni ulionekana wazi
Mdau Nyabhutache


Naunga mkono hoja
vikao na utambulisho vikiendelea
Mikakati ikapangwa
chini ya uongozi mahiri wa mwenyekiti
na katibu wake

MSALYA: 1895 - 04 JUNE 1966





Wadau hatimae mtandao umeendelea kuonesha matumani, hivyo nimeonelea nianze kuwawekea taratibu.
Ziko picha nyingi ambazo haziwezi kupanda kwa pamoja, hivyo nitajitahidi kuweka kwa awamu.
Hapa ni picha za vikao vya maandalizi.
Ikumbukwe mwenyekiti alikuwa mwenyewe Mzee Mwayai, akisaidiwa na katibu wake Mwl Bilshan "Chuma"
Karibuni tuwe wote hadi itakapofikia tamati

Wednesday, July 21, 2010

SIMULIZI ZA NAKATUBA COMING SOON


Karibuni tutanza kupata mtiririko wa Vekesheni iliyopita karibuni huko Nakatuba

Hapa ni kuonja tu,

Mguu pande............

Mguu sawa..............

Jiandae sawasawa

Thursday, June 3, 2010

FROM MWANZA TO NAKATUBA ON VEKESHENI

kwa mtiririko mzuri wa matukio, ni vyema ukaanza picha ya chini, kwa kupanda juu.
Sorry for Incovinience, ilitokana na matatizo ya kimtandao kidogo.
Na hatimae kulikuwa na picha ya Ukumbusho huu......................
Naamini Vekesheni hii itabakia kumbukumbu safi kwa muda mrefu kwa vizazi vya kina Pricilla
Kumbe wageni hawakuja mikono mitupu.....
Walikuja na Zawadi kibao.
Bi Penina alikuwa miongoni mwa waliojimwayamwaya na mizawadi kibao
Wenyeji walipopata nafasi, walikaa nakupumua kidogo............
Hata kikombe cha Chai sasa ilikuwa ruksa kupita
Ilipopatikana chance, watu walipeana habari za mjini na za shamba
Wakabadilishana mawazo.............
Maneno mazuri ya busara huwa hayakosekani wakati huo.
Kila mmoja alihakikisha anatimiza wajibu wake ili kufanya mambo yende sawa, na ilipobidi wengine waliitana chemba na kuteta kidogo....................
Mahanjumati kama kawaida, kuwaacha wageni wakiwa na furaha tele, tele .....
Bi Mukima, Bi Penina na Bi Nyamisi walikuwepo standby kuwapokea wageni kutoka Mwanza,
Wageni hao wanaingia................................................



































PLANNED NAKATUBA VEKESHENI


Wadau wamepania kufanikisha Vekesheni ya Nakatuba panapo mwezi wa Saba.
Mipangilio hii iwe babu kubwa kulikoni ile ya CK 55 yrs of nanihii.............
Hii ni ya Mwenyewe Dingi, Msalya Senior.
.............to 1966.
Hapa mdau mwakilishi wa Dar akijaribu kutayarisha itenerary ya safari nzima, ikiwa ni pamoja na ukadiriaji wa gharama za safari kwa ajili ya vekesheni hiyo.
Duh!!!
Wadau wametakiwa kuhakikisha wanajiandaa vilivyo,kwani kiasi cha chini cha kuweza kukamilisha Vekesheni yenyewe ni kama m4 kasoro ushee kidogo.
Lakini sina shaka, maana wadau wa kusini kule wamepania kikweli...
Na central nako ndio usiseme.
Lazima twende pamoja